Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
how?Hadi mkewe asijue kuna mabadiliko?Mopotezee..... stay away from him
how?Hadi mkewe asijue kuna mabadiliko?Mopotezee..... stay away from him
how?Hadi mkewe asijue kuna mabadiliko?
Fidel ana agenda yake ya siri si burewatu mna mahekima sometimes.:becky:
Erniekama vipi we mpige jamaa tafu tu, mpe mzigo kwani nina imani hatarudi tena
Hommie we ungefanyiwa hivyo ungekuwa wema au ukatili...?
Nimeshaanza kuingiwa na mashaka na uanachama wako. Tutakuita Dodoma kukusaili:confused2::confused2::confused2:
hommie nina hamu nimwone tabibu wako ndo maana....lol si nasikia ulikuka masharti pia ya uanachama:becky::becky:
watu mna mahekima sometimes.:becky:
Au unataka atumie huo msemo kwenye hiyo signature yako hapo chini
Angalizo hiyo signature ina siri yake chini ya kapeti
wadau mambo yenu?
mwenzenu niko kikazi kwenye mji fulani,ni miezi 9 sasa.naishi peke yangu. nimetokea kuwa karibu na dada fulani ambae ofisi zetu zipo karibu.mwanzoni tulikuwa tunakuwa pamoja lunch time. baadae ushost ukanoga hadi majumbani kwetu na ulinoga zaidi alipogundua mimi na mumewe ni kabila moja tukawa mawifi tena.na mume mtu nae akawa kaka.
basi huyu mkaka tangu anijue imekuwa shida akisafiri analeta mizawadi kibao kwangu haswa vyakula na vinywaji na shost anajua na huwa ananiambia kakako anakupenda kweli hawezi kupita siku bila kukutaja jamani...yeye anamwamini sana mumewe na anasema tangu amfahamu hajawi hata kuhisi kama anamwanamke...eti hata kutongoza hajui...........eti nisali sana nipate mume mwema kama wake...huyu shost ni rafiki mzuri tu kwangu na naamini ananipenda.............ila ukweli ni kwamba huyu mumewe tangu siku ya kwanza ameniona ameoyesha kunitamani na kiukweli ananitongoza sana...mara kadhaa ameshakuja home kwangu peke yake akimuwaga mkewe anakuja kumsalimia dada kumbe anakuja kutongoza nimemkemea hadi kumtishia kumsemea kwa mkewe hakomi....hivi juzi tu karudi safari toka wapi sijui kaniletea zawadi za ajabu ajabu ambazo zinafanya nimwone hanielewi......nawaza kumwita mkewe nimshtakie ila nahofia hataniamini au ushost utaisha......................WADAU NAOMBA USHAURI!
Either anasoma mazingira au mtu wa maadiliSasa miezi 9 yote hiyo hujapata kitu roho inapenda, halafu kaka yako wa hiari amejitolea kukusaidia bado unambania! Kula kitu roho inapenda!
asante mwaya!Hakikisha una ushahidi usiopingika hata kama ni kwa kumrekodi kwa sauti au video, halafu mwambie rafiki yako, akibisha muonyeshe ushahidi.
Zaidi ya hapo utaonekana mzushi na mchonganishi na unaweza hata kugeuziwa kibao kwamba wewe ndiye unamtaka mume wa mtu.
Sasa miezi 9 yote hiyo hujapata kitu roho inapenda, halafu kaka yako wa hiari amejitolea kukusaidia bado unambania! Kula kitu roho inapenda!
sina nye.. hizo jamani za kutembea na mume wa shost nikizidiwa nitaingia hata mitaani kutafuta ila si yeye lol!
cha ajabu nini!