Jamani wewe martha mwaipaja sijui umenipa nini mimi, nakupenda kweli wewe dada
mambo ya kizamani kama umeshikwa nenda pale ambiance ukate kiu..ooh unaniumiza..oh nakupenda mambo ya kishamba..changamka
Jamani wewe martha mwaipaja sijui umenipa nini mimi, nakupenda kweli wewe dada
mambo ya kizamani kama umeshikwa nenda pale ambiance ukate kiu..ooh unaniumiza..oh nakupenda mambo ya kishamba..changamka
Hahahahahahaaaa! Mkuu ndugu yetu kakamatwa na mtoto wa kinyakusa usipime. Kweli Mary Mwaipaja noumer! Pole kaka, endelea kupiga misele!mambo ya kizamani kama umeshikwa nenda pale ambiance ukate kiu..ooh unaniumiza..oh nakupenda mambo ya kishamba..changamka
upo sawa sanaSidhani kama tunamtendea haki YUTONG kwa kutoa criticism kwa huyo mtu wake. Watu hatufanani. Unachopenda wewe si lazima nipende mimi, so hii biashara ya kusema wala si mzuri...sio mzuri kwako lakini anamkosesha mtu mwingine usingizi. So be fair, and not judgemental kuna watu huku wanakandia lakini ukiwaona watu wao barabarani OMG....So be fair...thats it. Na kama ni mbaya kwako keep it to yourself. Wandugu tujenge utamaduni wa kujengana.