Jamani huyu dada nakosa raha

yutong

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
1,601
338
Jamani wewe martha mwaipaja sijui umenipa nini mimi, nakupenda kweli wewe dada
 

Attachments

  • Martha Mwaipaja.JPG
    Martha Mwaipaja.JPG
    22.3 KB · Views: 303
  • SDC13942.JPG
    SDC13942.JPG
    22.9 KB · Views: 169
mambo ya kizamani kama umeshikwa nenda pale ambiance ukate kiu..ooh unaniumiza..oh nakupenda mambo ya kishamba..changamka


hii avatar ya bibie BelindaJacob umeichakachua na mie nimemzimikia....please na moyo mmoja tu kwa Belinda
 
mambo ya kizamani kama umeshikwa nenda pale ambiance ukate kiu..ooh unaniumiza..oh nakupenda mambo ya kishamba..changamka

tatizo usiloliona ni kuwa pale ambiance hakuna ambaye yeye anamzimia...................
 
mambo ya kizamani kama umeshikwa nenda pale ambiance ukate kiu..ooh unaniumiza..oh nakupenda mambo ya kishamba..changamka
Hahahahahahaaaa! Mkuu ndugu yetu kakamatwa na mtoto wa kinyakusa usipime. Kweli Mary Mwaipaja noumer! Pole kaka, endelea kupiga misele!
 
Sidhani kama tunamtendea haki YUTONG kwa kutoa criticism kwa huyo mtu wake. Watu hatufanani. Unachopenda wewe si lazima nipende mimi, so hii biashara ya kusema wala si mzuri...sio mzuri kwako lakini anamkosesha mtu mwingine usingizi. So be fair, and not judgemental kuna watu huku wanakandia lakini ukiwaona watu wao barabarani OMG....So be fair...thats it. Na kama ni mbaya kwako keep it to yourself. Wandugu tujenge utamaduni wa kujengana.
 
Sidhani kama tunamtendea haki YUTONG kwa kutoa criticism kwa huyo mtu wake. Watu hatufanani. Unachopenda wewe si lazima nipende mimi, so hii biashara ya kusema wala si mzuri...sio mzuri kwako lakini anamkosesha mtu mwingine usingizi. So be fair, and not judgemental kuna watu huku wanakandia lakini ukiwaona watu wao barabarani OMG....So be fair...thats it. Na kama ni mbaya kwako keep it to yourself. Wandugu tujenge utamaduni wa kujengana.
upo sawa sana
yaani nimekupenda sana kw ushauri wako..
hao wanaosema sijui mbaya ni kwa sababu jf hatuweki sura ila tungekuwa tunaweka lolol
wasingesema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom