mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
Naaahh....hiyo kitu sipendi...i wouldnt wanna work in the same place as my woman...inabidi mpeane muda apart angalau uwe unammiss honey wako...hata ukiwa kazini after few hours unampigia simu kumwambia unammiss u can not wait to see her/him later on at home...sasa ukiamka yuko hapo siku nzima uko nae usiku nae uko...unajua usipokua na chance ya kummiss mpenzi wako itafika wakati love itapungua na mtakua mnagombana kila kukicha