Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Wana JF wakati report za CAG zinaonesha kuliwa kwa fedha za walipa kodi kwa kiwango cha kutisha pengine tunaulizana kwamba hawa jamaaa wanazipeleka wapi pesa zetu??? Waziri mmoja amaejenga nyumba ya kutisha katika moja ya mitaa ya Jiji la Mwanza, Waziri huyu anatoka katika wizara moja nyeti. Tena waziri mwenyewe kijana. Tutafika jamani?????
Huu uoga wako wa kutokumtaja huyo waziri huna tofauti na hao wabunge Wa ccm waliokwepa kutia saini,jamiiforums hamna siri au hauna ushahidi wa kweli.