MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,198
- 1,226
Uko wapi? mkuu RealMan nikupe japo soda tu.....hii ndio taarifa sio kusumbua watu tu na taarifa za kufichaficha kama Bangi
Na wewe mbona unakurupuka!! Jamaa kasema Binti wa mtu mmoja aliyewahi kuwa Waziri! Hivyo hajasema Binti aliyewahi kuwa Waziri - Hivyo rudia kuisoma tena hiyo thread.
ohh pole ni binti wa aliewahi kua waziri. nimeruka hapo