Cholemasaki
Member
- Mar 26, 2013
- 61
- 13
Wameanza tarehe 30/06/2016
Lazima tulipe bila hivyo tukanunue season!lipen tu
mm azam tv wamenikomesha mpakz nikataka kununua startime kumbe nako majangaLazima tulipe bila hivyo tukanunue season!
YEP KISAIKOLOJIA UNAKUWA UMEJINDAACha muhimu ni kutoa taarifa ni si ghafla kamawalivyofanya!
Nunua kifurushi kidogo kabisa cha 5000 kwa mwezi! Not badmm azam tv wamenikomesha mpakz nikataka kununua startime kumbe nako majanga
Binafsi niliwapigia cm kuwauliza; majibu waliyonipa ni kuwa kuna marekebisho wanafanya ila nilipofuatia nikagundua sio wakweli kwani nilipolipa wakanifungulia; nikajuliza iweje bure ndo kuna marekebisho ukilipa hakuna marekibisho??YEP KISAIKOLOJIA UNAKUWA UMEJINDAA
Nunua kifurushi kidogo kabisa cha 5000 kwa mwezi! Not bad
sijakuelewaWakuu fanya hivi kama una startimes washa kidubwasha chako then weka on pay station kwa dk 5-15 bila kuchange channels Zitafunguka local bila malipo
****Wakuu fanya hivi kama una startimes washa kidubwasha chako then weka on pay station kwa dk 5-15 bila kuchange channels Zitafunguka local bila malipo
Haya mambo yanakera sana nilipoanza maisha nilinunua zuku nikasikia Azam local channel bure nikahama nikamia Azam nako huko wamefungia local channel na kutulazimishia TBC, ni bora wangetuacha na mfumo wetu wa kuzungusha antenna ule ule maana hiz channel zikikataga roho huwa inaniuma sana
Washa decoder yako kisha weka hata Tv1 au local yoyote ile acha on kama unataka kwenda kuoga kaoge Baada ya kati ya dk 5 mpaka 15dk zitafunguka local zote bila kulipiasijakuelewa
Mbona mi nikiweka elfu tano inakaa wiki tu then inakata mpaka uweke tena?Nunua kifurushi kidogo kabisa cha 5000 kwa mwezi! Not bad
Oooook! Cha kufanya ukishaweka unawapigia wanakuunga kwenye kifurushi cha elfu 5000 kwani hicho ulichokuwa unatumia ni cha 12000 ndio maana wanakata kabla!Mbona mi nikiweka elfu tano inakaa wiki tu then inakata mpaka uweke tena?
Mbona mm natumia startams .na local Chanel zipo zote.Kama kukatwa labda zikatwe leo asubuhi maana tokea nizime TV Jana mida ya SAA tano usiku. Sijaiwasha,Na kuna jirani yangu mmoja alikuja kwangu akashangaa local Chanel zote bure na zipo clear. Wakati yeye analipia na chenga tupuLeo katika kujaribu kuwasha tv yangu naambiwa local channel haijalipiwa. Huu utaratibu umeanza lini na kwanini tcra hawakutangaza kitu kama hiki. HAKIKA TUNAKOELEKEA NI KUBAYA SANA
Kwani walio na dishi hawalipii? #mkuumimi yamenikuta jana na leo nimetumiwa msg eti nilipe kwanza ndo nitazipata izo channel si bora ninunue dish na receiver kuliko ujinga wa star times
mimi yamenikuta jana na leo nimetumiwa msg eti nilipe kwanza ndo nitazipata izo channel si bora ninunue dish na receiver kuliko ujinga wa star times