Johan urasa
New Member
- Apr 18, 2011
- 3
- 1
Mambo zenu wana jf. I hope mu wazima.
Kuna mdada nilido naye sasa cha kushangaza anasema ana mimba yangu wakati tuli do siku ya 23 ya mzunguko wake na anadai mzunguko wake nikat ya siku 26 mpaka 3o ndio anapata hedh nyingine. Hiyo mimba inakuaje yangu? Mwee nahisi nabebeshwa mzigo usiokua wangu. Naomben wenye uelewa zaid wanisaidie hivi hiyo tarehe 23 yake ni ya kubeba mimba kweli? au ndo nauziwa mbuzi kwenye kunia?
Asanteni wapendwa,
Kuna mdada nilido naye sasa cha kushangaza anasema ana mimba yangu wakati tuli do siku ya 23 ya mzunguko wake na anadai mzunguko wake nikat ya siku 26 mpaka 3o ndio anapata hedh nyingine. Hiyo mimba inakuaje yangu? Mwee nahisi nabebeshwa mzigo usiokua wangu. Naomben wenye uelewa zaid wanisaidie hivi hiyo tarehe 23 yake ni ya kubeba mimba kweli? au ndo nauziwa mbuzi kwenye kunia?
Asanteni wapendwa,