wale jamaa walikuwa wazuri sana, walifukuzwa pale star tv kwa makosa ya kinidhamu ikiwemo kutoroka siku za weekend na kwenda kufanya show mikoani bila kibali cha mwajiri. Binafsi I miss themInawezekana walikosa wafadhili ndo maana wameamua kwenda kwenye kazi yao ya uvuvi.