mseseve
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 511
- 89
Jamaa mmoja toka mkoa fulani alikuwa anachangia mada namna ya kupunguza wingi wa mavuno ya viazi kwa mwaka huo kwa kutafuta walaji zaidi (kuuza)jamaa anachangia: ndugu mwenyekiti tatizo letu ni sisi wenyewe fiazi tunafirima sisi wenyewe lakini hatufiri.ee lugha gongana mkutano ukaisha palepale