Black poison The Factor
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 857
- 1,264
Natumia mu wazimaa wakuu.
Ukistaajabu ya Mussa geuka nyuma uyaone ya firauni.
Ipo hivi, kuna jamaa ana mke na watoto wa5. Sasa mwaka jana kipindi January unaanza mke wake alimshawishi sana wajiunge vikoba maana itakua ni akiba nzuri sana kwao siku wakivunja.
Baada ya jamaa kufkiria akaona poa haina shida, wakaelewana kwamba wataweka buku kumi kumi kila j5 na jmosi.
E bhana e. si majuzi ikawa mwisho wa vikoba jamaa akiwa na furaha anasibiri mke aende alete hela wajue cha kufanya kizaazaa kikaanza.
Anaenda kuchua hela wapi wakati hajawahi kucheza?
Baada ya jamaa kumbana sana akasema bora wamalizane iwe amekula hela ya mahari, hivyo waanze upya.
Wee jamaa katoa pigo la mbwa mla kuku na mayai ni hatari.
Ukistaajabu ya Mussa geuka nyuma uyaone ya firauni.
Ipo hivi, kuna jamaa ana mke na watoto wa5. Sasa mwaka jana kipindi January unaanza mke wake alimshawishi sana wajiunge vikoba maana itakua ni akiba nzuri sana kwao siku wakivunja.
Baada ya jamaa kufkiria akaona poa haina shida, wakaelewana kwamba wataweka buku kumi kumi kila j5 na jmosi.
E bhana e. si majuzi ikawa mwisho wa vikoba jamaa akiwa na furaha anasibiri mke aende alete hela wajue cha kufanya kizaazaa kikaanza.
Anaenda kuchua hela wapi wakati hajawahi kucheza?
Baada ya jamaa kumbana sana akasema bora wamalizane iwe amekula hela ya mahari, hivyo waanze upya.
Wee jamaa katoa pigo la mbwa mla kuku na mayai ni hatari.