Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF
Katika kuelekea uchaguzi october 2010 JK ameanza kujinadi kuwa atawashughulikia mafisadi na kusafisha chama(hii ni danganya toto)
Hizi ndo zilikuwa siasa zake mwaka 2005 mpaka sasa hajafanya kitu mpaka sasa, aliomba majina ya mafisadi wa madawa ya kulevya wakampa kayaweka kapuni, Wakamsadia kumpatia majina ya mafisadi kutusadia kupeleka mafisadi hewa mahakamani wale mafisadi wenyewe kawaacha.
Vyombo vya Habari vimeanza kumunadi vya IPP eti atawashughulikia mafisadi. Je miaka yote alikuwa wapi?? Watanzania tumechoka na ahadi hewa, watanzania tumeelimika hatudanganyiki
Kama anataka tumuamini kuwa yeye ni mchapakazi namshauri atende sasa ili tumueshimu
Je wanaJF mnasemaje??
Katika kuelekea uchaguzi october 2010 JK ameanza kujinadi kuwa atawashughulikia mafisadi na kusafisha chama(hii ni danganya toto)
Hizi ndo zilikuwa siasa zake mwaka 2005 mpaka sasa hajafanya kitu mpaka sasa, aliomba majina ya mafisadi wa madawa ya kulevya wakampa kayaweka kapuni, Wakamsadia kumpatia majina ya mafisadi kutusadia kupeleka mafisadi hewa mahakamani wale mafisadi wenyewe kawaacha.
Vyombo vya Habari vimeanza kumunadi vya IPP eti atawashughulikia mafisadi. Je miaka yote alikuwa wapi?? Watanzania tumechoka na ahadi hewa, watanzania tumeelimika hatudanganyiki
Kama anataka tumuamini kuwa yeye ni mchapakazi namshauri atende sasa ili tumueshimu
Je wanaJF mnasemaje??