mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Ndugu wana Jf,
Taarifa kutoka Dodoma zinasema kuwa Jaji mstaafu wa mahakama kuu,Mwalusanya amefariki Dunia na kuzikwa jana hukohuko Dodoma.
Jaji Mwalusanya atakumbukwa kwa mambo mengi hasa kesi yake maarufu ya MBUSHUU dhidi ya JAMHURI ambapo alionyesha msimamo wazi kwa kuipinga hukumu ya kifo.Jaji huyu ameandika kesi nyingi nzito na alijulikana kama Jaji mpigania haki.Hadi kifo kinamkuta licha ya maamuzi yenye kuwajali wanyonge ameandika machapisho mbalimbali kuhusu sheria za kazi,haki za wajane nk.
Mungu amlaze mahali pema.
Taarifa kutoka Dodoma zinasema kuwa Jaji mstaafu wa mahakama kuu,Mwalusanya amefariki Dunia na kuzikwa jana hukohuko Dodoma.
Jaji Mwalusanya atakumbukwa kwa mambo mengi hasa kesi yake maarufu ya MBUSHUU dhidi ya JAMHURI ambapo alionyesha msimamo wazi kwa kuipinga hukumu ya kifo.Jaji huyu ameandika kesi nyingi nzito na alijulikana kama Jaji mpigania haki.Hadi kifo kinamkuta licha ya maamuzi yenye kuwajali wanyonge ameandika machapisho mbalimbali kuhusu sheria za kazi,haki za wajane nk.
Mungu amlaze mahali pema.