Mh. Jaji Upendo Msuya amefiwa na mwanaye William H. Msuya aliyekuwa nchini Malaysia. Jaji Upendo ndo anayesikiliza kesi ya kupinga ushindi wa John Mnyika uchaguzi wa ubunge jimbo la Ubungo. (Hawa Ng'umbi Vs John Mnyika). Tumuombee asichanganyikiwe asijetoa hukumu ya ndiyo siyo! Source Michuzi!