mnachofanya mnajadili athari za kutojua mapenzi na madhara yake kwa ujumla uzinzi na ngono please change mnapotea kuweni positive please
Mkuu hapa tumejaribu kuwekana sawa ikashindikana, nilichogundua hapa sio sehemu nzuri kwa kupata msaada wa ushauri, maana mtu akijisifia kwamba ana mahusiano nje ya ndoa ilhali ana mke wake anaonekana shujaa!
Utaamini vipi msaada na ushauri wa watu usiowafahamu japo sura achilia mbali majina yao nk ?? Hapa tuna share tu vitu ambavyo ni common na akili binafsi ndio itakuongoza uchukue lipi uache lipi