cheze
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 501
- 330
Mgombea udiwani kwa tiketi ya CCM kata ya Kirumba bwana Jack Masamaki akutwa na wafuasi wa CHADEMA akitoa rushwa maeneo ya Kigoto-kirumba,na huu ndo mtaa anaotoka mgombea udiwani kwa tiketi ya CHADEMA bwana Bahati Kahungu.Polisi wameitwa na kumpeleka bwana Masamaki kituo cha police.TAKUKURU wamelala.