ngulyavyangu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2019
- 203
- 266
Leo ndio nimeanza kumuelewa mh mkuu wa mkoa na dar es salaam ndugu Paul makonda.
Nimeanza kumuamini kwamba watz tunafurahia vitu vya hovyo na vitu vya msingi hatuvipi nafasi..
Leo katika zunguka zunguka yangu kwenye mtandao wa instagram nikabahatika kukutana na post ya mwanadada mwigizaji na mfanyabiashara, faiza ally.
Bidada huyu ameandika kwa uchungu jinsi Wakenya wanayo waaaminisha watu huko ughaibuni kwamba Mlima kilimanjaro upo Kenya,.
Sijashangazwa Sana na ili jambo Kwani kwa record nilizonazo ni kwamba Wakenya wanaonekana ni watu wa kutumia fursa na watz tumelala pono tukiwa hatuna Habari,
Kila kizuri cha tz Wakenya lazima wanufaike nacho mfano madini ya tanzanite dunia yanapatikana tz peke yake ila Wakenya ndio wafanyabiashara wakubwa wa madini Hayo, tena wao wananufaika zaidi yetu.
Nimejaribu kuingia kwenye page ya muheshimiwa waziri wa Maliasili na utalii post yake ya mwisho amempost Pierre na caption ndefu ya kumpatepate.
Apo ndipo nilipoamini Mh makonda Yupo sahihi, Yaani Wakenya wakiwa busy kuutangaza mount kilimanjaro kwamba upo sisi watanzania pamoja na viongozi wetu tuko busy kumtetetea mlevi Pierre liquid!!
Leo Hii Idadi kubwa ya wataliii wanaingia Kenya zaidi ya tz.. Sio kwamba Kenya wanausalama wa kutosha, La hasha! Sio km Kenya wanavivutio vizuri zaidi yetu, Yawezekana ivi ivi vya kwetu tunakula nao sahani Moja.
Wao wanachokifanya ni kuitangazia dunia kwamba kile kitu kizuri kipo Kenya,utalii ni matangazo, usitegemee upate wataliii Wakati autangazi vivutio vyako.
Mkenya anajua kutumia fursa, Sie Hawa wasanii wetu tunaona wanini ila wao wanavutia kwao, utasikia eti diamond ni mkenya, sijui professor Jay ni mkenya, AY n. k
Unajua Kwanini? Kwasababu wasanii wananafasi ya kuitangaza nchi kimataifa, ila sisi hatulijui ilo kazi yetu ni kuingia kwenye page zao na kuwatolea maneno machafu na yakukatisha tamaa, huyu diamond angekua mkenya angekua mbali Sana kimuziki coz Wenzetu wanasapotiana, ila sisi tupo tayari kumtetetea liquid kuliko kumtetetea diamond anayelitangaza taifa.
Tuamke watanzania majirani wataendelea kunufaika na rasilimali zetu hadi lini?
Muda sasa Umefika kuitangazia dunia kwamba Mlima kilimanjaro upo Tanzania.
Muda sasa wa kuwaambia Wakenya kwamba mmenufaika na lasilimali zetu kwa miaka mingi sasa inatosha.
Muda sasa umefika watanzania tuache kushabikia Ujinga,
Muda sasa Umefika watanzania tutumie mitandao ya kijamii kuitangaza mazuri ya nchi yetu
Nakupenda Tanzania
Nakupenda nchi yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeanza kumuamini kwamba watz tunafurahia vitu vya hovyo na vitu vya msingi hatuvipi nafasi..
Leo katika zunguka zunguka yangu kwenye mtandao wa instagram nikabahatika kukutana na post ya mwanadada mwigizaji na mfanyabiashara, faiza ally.
Bidada huyu ameandika kwa uchungu jinsi Wakenya wanayo waaaminisha watu huko ughaibuni kwamba Mlima kilimanjaro upo Kenya,.
Sijashangazwa Sana na ili jambo Kwani kwa record nilizonazo ni kwamba Wakenya wanaonekana ni watu wa kutumia fursa na watz tumelala pono tukiwa hatuna Habari,
Kila kizuri cha tz Wakenya lazima wanufaike nacho mfano madini ya tanzanite dunia yanapatikana tz peke yake ila Wakenya ndio wafanyabiashara wakubwa wa madini Hayo, tena wao wananufaika zaidi yetu.
Nimejaribu kuingia kwenye page ya muheshimiwa waziri wa Maliasili na utalii post yake ya mwisho amempost Pierre na caption ndefu ya kumpatepate.
Apo ndipo nilipoamini Mh makonda Yupo sahihi, Yaani Wakenya wakiwa busy kuutangaza mount kilimanjaro kwamba upo sisi watanzania pamoja na viongozi wetu tuko busy kumtetetea mlevi Pierre liquid!!
Leo Hii Idadi kubwa ya wataliii wanaingia Kenya zaidi ya tz.. Sio kwamba Kenya wanausalama wa kutosha, La hasha! Sio km Kenya wanavivutio vizuri zaidi yetu, Yawezekana ivi ivi vya kwetu tunakula nao sahani Moja.
Wao wanachokifanya ni kuitangazia dunia kwamba kile kitu kizuri kipo Kenya,utalii ni matangazo, usitegemee upate wataliii Wakati autangazi vivutio vyako.
Mkenya anajua kutumia fursa, Sie Hawa wasanii wetu tunaona wanini ila wao wanavutia kwao, utasikia eti diamond ni mkenya, sijui professor Jay ni mkenya, AY n. k
Unajua Kwanini? Kwasababu wasanii wananafasi ya kuitangaza nchi kimataifa, ila sisi hatulijui ilo kazi yetu ni kuingia kwenye page zao na kuwatolea maneno machafu na yakukatisha tamaa, huyu diamond angekua mkenya angekua mbali Sana kimuziki coz Wenzetu wanasapotiana, ila sisi tupo tayari kumtetetea liquid kuliko kumtetetea diamond anayelitangaza taifa.
Tuamke watanzania majirani wataendelea kunufaika na rasilimali zetu hadi lini?
Muda sasa Umefika kuitangazia dunia kwamba Mlima kilimanjaro upo Tanzania.
Muda sasa wa kuwaambia Wakenya kwamba mmenufaika na lasilimali zetu kwa miaka mingi sasa inatosha.
Muda sasa umefika watanzania tuache kushabikia Ujinga,
Muda sasa Umefika watanzania tutumie mitandao ya kijamii kuitangaza mazuri ya nchi yetu
Nakupenda Tanzania
Nakupenda nchi yangu
Sent using Jamii Forums mobile app