Kokwa kavu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 220
- 41
Unajua huu ukumbi umekua maarufu sana siku za hvi karibu afu nasikia ni wakawaida mno huu umaarufu umetokana na nn?
Unajua huu ukumbi umekua maarufu sana siku za hvi karibu afu nasikia ni wakawaida mno huu umaarufu umetokana na nn?
ule ukumbi ungekuwa uzunguni ni kweli wa wakawaida ile kule ulipo si ukumbi wa kawaida!!!sina uhakika ila nasikia ni ukumbi wa Eric na unapata sana umaarufu kwakuwa kila weekend kuna burudani kali ya wasanii anawawekea na pia magazeti yake yanaipaisha sana ile sehemu kwa habari!big up eric kama kweli ndo mmiliki kwani watu wa kule walisahaulika sana kwa starehe wakawa wanajazana sana jumapili beach ya bure coco atleast umepunguza tatizo....
Nilisikia mmiliki wa ukumbi ni ErickvShigongo lakini baadae kuna mtu akasema Shigongo ni kama picha lakini kuna mtoto wa kigogo wa Ikulu ndiye mmiliki.
ule ukumbi ungekuwa uzunguni ni kweli wa wakawaida ile kule ulipo si ukumbi wa kawaida!!!sina uhakika ila nasikia ni ukumbi wa Eric na unapata sana umaarufu kwakuwa kila weekend kuna burudani kali ya wasanii anawawekea na pia magazeti yake yanaipaisha sana ile sehemu kwa habari!big up eric kama kweli ndo mmiliki kwani watu wa kule walisahaulika sana kwa starehe wakawa wanajazana sana jumapili beach ya bure coco atleast umepunguza tatizo....
kinondoni unataka kuifananisha na mbagala!!!unajua leaders iko maeneo gani au unaisoma tu magazetini????leaders iko kinondoni kitovuni mwa ada estate yaani hapo utakuta nyumba za vigogo wa serikali yako,ukichungulia huku ubalozi wa france,mbele kidogo ulipokuwa ubalozi wa marekani zamani, ukikata corner bahari ya hindi!kiufupi ukiwa leaders kipupwe cha bahari unajenga nacho urafiki!!!!!!haya toa maeneo yanayopakana na maeneo ya dar live!!!kama hujaanza kusema sijui kwa mbele shamba la nazi la mzee kauzeni,kwa nyuma sijui fundi seremala cheusi dawa ukikata kona magofu ya mabomu...we!!!!iache leaders kabisa!Haya mawazo yako yananitatanisha kidogo! Kwani Leaders club ina nini? Na iko wapi? Na mbona ni maarufu?
Bora hata jamaa amewasaidia sana wa2 wa huko walikua wana2mia sana gharama kuja twn
kinondoni unataka kuifananisha na mbagala!!!unajua leaders iko maeneo gani au unaisoma tu magazetini????leaders iko kinondoni kitovuni mwa ada estate yaani hapo utakuta nyumba za vigogo wa serikali yako,ukichungulia huku ubalozi wa france,mbele kidogo ulipokuwa ubalozi wa marekani zamani, ukikata corner bahari ya hindi!kiufupi ukiwa leaders kipupwe cha bahari unajenga nacho urafiki!!!!!!haya toa maeneo yanayopakana na maeneo ya dar live!!!kama hujaanza kusema sijui kwa mbele shamba la nazi la mzee kauzeni,kwa nyuma sijui fundi seremala cheusi dawa ukikata kona magofu ya mabomu...we!!!!iache leaders kabisa!
Duh, hayo majumba ya mabalozi yanakusaidia nini unapoenda leaders? Your comments are very biased for someone who has never been to Dar Live. That joint is better than Leaders, period!
HII NDO SHIDA TULIYONAYO WENGI...... Eti mtu anadhani uwanja wa taifa upo temeke kwa ajili ya watu wanaoishi huko......... Ni ujinga mtupu kudhani hivyo............. Hivi Leaders Club kuna nini cha maana na umaarufu wake wote ule?? AU KOKO bichi kuna nini cha kuhalalisha uwepo wake pale??? Sasa hao wanaotoka kawe na Tegeta kwenda DarLIVE hawatumii gharama............ MAWAZO MGANDO ...... ALAFU WEWE UTAKUWA UNAKAA KWENYE NYUMBA YA KUPANGA HUKO UNAKOKUONA KWA MAANA SANAAAA.... AU UNAISHI KWA DADA YAKO ALIYEOLEWA NA MUME ALIYEPANGA
Siwezi ishi nyumba ya makuti kwa sababu ya ghorofa la jirani. Hivi unadhani hiyo leaders hao wa mbagala hawaendi..??? KUKAA KARIBU NA MAHAKAMA SI KUJUWA SHERIAhujui unachoongea!!!!bei ya kiwanja kinondoni na mbagala utafananisha?hapo ndo utajua kwanini mbwiga mwenzako nilimuambia kama leaders ipo uzunguni!mimi na ujanja wangu nichome mafuta nikale bata mbagala nna wazimu....najibu swali lako magorofa ya leaders yananisaidia nini nikienda???peace of mind kwakuwa najua kuna security vichochoro vimedhibitiwa!