R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Nimesikilza tarifa ya habari kuhusu ,mgojwa anayedhaniwa ana ugojwa wa EBOLA;
TBC wamemuoji msaidizi wa mganga mkuu yeye kakanusha.
ITV wamemuoji mganga wa KARAGWE mgojwa alipo hospitali ,anakili ni kweli ana dalili zote;
Naomba serikali itegue kitendawili hiki mkoa kagera. kuna magojwa mengi yametokea Uganda yanaathiri,
MAZAO ; MNYAUKO WA MIGOMBA
UGOJWA WA UKIMWI;
Chonde chonde wabunge na mawaziri kuweni serious
TBC wamemuoji msaidizi wa mganga mkuu yeye kakanusha.
ITV wamemuoji mganga wa KARAGWE mgojwa alipo hospitali ,anakili ni kweli ana dalili zote;
Naomba serikali itegue kitendawili hiki mkoa kagera. kuna magojwa mengi yametokea Uganda yanaathiri,
MAZAO ; MNYAUKO WA MIGOMBA
UGOJWA WA UKIMWI;
Chonde chonde wabunge na mawaziri kuweni serious