Its now official: Vodacom na Tigo wapambana kuinunua kampuni ya Zantel

mdhalendo

JF-Expert Member
Dec 14, 2011
282
273
Baada ya kampuni ya simu ya Zantel kuendelea kupata hasara mfululizo, kampuni ya Etisalat inayomiliki asilimia 65 ya hisa za zantel imeamua kuuza hizo ili kujiondoa kwenye soko la simu hapa nchini.

Zantel ambayo licha ya kupanua wigo wa mtandao wao tanzania bara lakini imekosa mvuto kwa wateja wa tanzania bara. Kampuni kubwa za vodacom na tigo zinashindana ili ziweze kumiliki mtandao huo wa Zantel.

Hali kama hiyo iliikuta kampuni ya Yu Kenya ambayo pia illiingia hasara mfululizo mpaka iliponunuliwa na Safaricom na Airtel Kenya.Baada ya kampuni ya simu ya Zantel kuendelea kupata hasara mfululizo, kampuni ya Etisalat inayomiliki asilimia 65 ya hisa za zantel imeamua kuuza hizo ili kujiondoa kwenye soko la simu hapa nchini.


CALL.jpg


Dar es Salaam. Two mobile operators, Vodacom and Millicom International Cellular that trades as Tigo, are competing for a 65 per cent Etisalat stake in Zanzibar Telecom (Zantel) as competition stiffens in the country.

The Emirates Telecommunications Corporation is working with Deutsche Bank AG on the sale of its 65 per cent stake in Zantel which has attracted interest from Vodacom Group Ltd and may also draw Millicom International Cellular, Bloomberg reported.

Whoever wins a stake in Zantel between Vodacom and Tigo, will automatically become the market leader in terms of data communication. This is because Zantel is the local host of the East African Submarine Cable System (EASSy) – with the project's landing station being at the firm's (Zantel's) Head Offices at Zantel Park Drive – in Msasani.

Zantel, along with Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL), are the local shareholders in the EASSy – an undersea fibre optic cable that links the countries of East Africa to the rest of the world. It is thus Zantel and TTCL that are responsible for selling and distributing capacity to other network operators and Internet Service Providers (ISP's).

The cable also interconnects with domestic and international networks. In the same vein, whoever buys a controlling stake in Zantel will get an additional seven per cent market share of the country's telecommunication subscription rates, according to latest figures by Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA).

Should the six per cent fall in the hands of Tigo, it will set a cut-throat competition among three major operators – where each will be controlling a market share of slightly over 30 per cent. According to TCRA's March 2014 subscription market share report, Zantel had a six per cent share while Vodacom was leading the telecoms subscription with a 37 per cent market shareholding.

Airtel had a 33 per cent share while Tigo had 24 per cent. If Tigo buys Zantel therefore, the market will have three giant contenders – owning 37, 33 and 30 per cent for Vodacom, Airtel and Tigo respectively. Both Vodacom Tanzania and Zantel declined to comment anything on the matter and directed all queries to their respective shareholders.

Meeco International of Tanzania owns 17 per cent of Zantel and the government of Zanzibar holds 18 per cent, according to the phone company's website. About 57 per cent of people in Tanzania had wireless access in 2012, compared with a rate of more than 71 per cent in neighbouring Kenya and 131 per cent in South Africa.

Zantel had sales of about $85 million last year, according to an Etisalat document published in May. The unit was in a default for non-payment of a $96 million bank facility, with the lender saying it may take enforcement action against Zantel unless a payment is made.

"Zantel cannot comment on shareholders' related matter…please refer all your queries to Etisalat group's corporate communication," said Awaichi Mawalla, Zantel marketing communications manager in a text message.

Source: thecitizen.co.tz
 
Kama wateja wa Zantel wangekuwa na uamuzi wa nani anunue Zantel, nadhani wasingekubali kununuliwa na Voda wala Tigo maana ni balaa. Kwa hiyo wateja wa Zantel zile huduma mlizokuwa mkizipata kwa kujinafasi ndio mwisho. Poleni!!!!
 
Kama wateja wa Zantel wangekuwa na uamuzi wa nani anunue Zantel, nadhani wasingekubali kununuliwa na Voda wala Tigo maana ni balaa. Kwa hiyo wateja wa Zantel zile huduma mlizokuwa mkizipata kwa kujinafasi ndio mwisho. Poleni!!!!
bora kabisa zantel ipotelee mbali.
 
hawataki zantel ila wanataka mkongo wa baharini unaomilikwa na zantel,kama nchi ilitakiwa iwahi inunue iwe ni mali ya taifa,sio makampuni binafsi,

Zantel hawamiliki mkongo baharini mkongo unamilikiwa na seacom..zantel wana miliki gateway ambapo voda na tigo hawana
 
Kampuni mpya za mawasiliano ambazo hazijipangi kisawasawa zitaishiaaaaa kufirisika na kuuuzwa tu...

Sasatel walikuja kwa mbwembwe.........kudadekiiiii chaliiiiii

Zantel ndo kifo cha mende.

Smile , vietel mjiandaeeee.
 
hawataki zantel ila wanataka mkongo wa baharini unaomilikwa na zantel,kama nchi ilitakiwa iwahi inunue iwe ni mali ya taifa,sio makampuni binafsi,
Hao watunga sera ndio wamiliki wa vodacom so hawawezi kuacha serikali imiliki zantel maana wao watakosa faida.
 
soko la makampuni ya simu limeshakuwa saturated kwa hiyo kwa kampuni mpya kupenya na kunyanganya wateja wa kampuni ambazo zipo ni ngumu sana!
 
hv zantel sio voda? mbona wanatumia.....moja?/tafitini! wazalendo! hawa ni kaka na dada ispokuwa dada alihamia znz kijanja!
 
ingekuwa vizuri hii kampuni ingebadirisha mfumo wa biaahara kutoka mfumo wa simu na kwenda ktk mfumo wa kugawa internet connection tu. hapa ndio napojiuliza Tanzania haina matajiri wa kununua na kuendesha kampuni km hizi, shoprite imeuzwa tunaiyona kisa matajiri wetu hawawezi kuweka nyanya za Iringa na mayai ya Kitunda.
 
Zantel own Eassy Submarine Cable!!!

IPO HIVI WADAU, KWANZA SEACOM NA EASSy NI WASHINDANI KATIKA BIASHARA, NA WOTE WANATUMIA FIBRE CABLE SARE ZA NJIA MBILI (640Gbs X 2) KWA SEACOM NA (700Gbs X 2) KWA EASSy NA KILA MMOJA AKIWA NA CABLE ZAKE, EASSy AKITOA MTUNZINI AFRIKA YA KUSINI NA SEACOM AKIUNGANISHWA KUTOKEA MUMBAI INDIA, ZANTEL NI PARTICIPATING PARTERS(WAKO 13) WA KAMPUNI YA INDIA, WEST INDIAN OCEAN CABLE COMPANY (WIOCC) NA TTCL AKIWA NI PARTNER WA MOJA KWA MOJA WA EASSy, HII NI KUSEMA ZANTEL WANARIPOTI WIOCC NA TTCL WANARIPOTI EASSy, ILA YANAYOFANANA HAPA NI KWAMBA SEHEMU YA MKONGO KUTUA NI MMOJA NA SEHEMU YA KITUO CHA KUENDELEZA(ONWARD CONNECTIVITY) NI KIMOJA KIPO KIJITONYAMA, INGAWA KWA MIKATABA TOFAUTI, NA KWA KUMALIZIA SEACOM UMILIKI WAKE WOTE NI WA BINAFSI WAKATI EAASy UMILIKI WAKE NI MUUNGANIKO WA MAKAMPUNI YA MAWASILIANO 20,NA WANAPATA FEDHA KUTOKA IFC(KITENGO NDANI YA WORLD BANK) NA MASHIRIKA MENGINE YA KIFEDHA KWA AJILI YA MAENDELEO
 
Biashara ushindani ni mkubwa mno Zantel inafanya vema Zenji wajizatiti zaidi huko kwakuwa hata hivyo ndio chimbuko lao

Nitawakumbuka kwa mengi na mojawapo ni kutuma pesa kwa kutumia simu, Zantel ndio wa kwanza kuleta hiyo huduma nakumbuka kama sikosei ilikuwa way back 2007, ilikuwa kitu cha ajabu kweli nilimtumia mtu pesa Mwanza na akapata, leo wamepigwa jumbo ni mwendo wa tigo na mpesa
 
Back
Top Bottom