Mkulu
Kuna change kubwa inatokea nchini mwetu.
Yaliyotokea Tarime, na yanaendelea Busanda ni kielelezo kuwa zile siku za KULA NA KUNYWA zimekaribia ukomo.
IT TAKES THE WHOLE VILLAGE MWANAKIJIJI,THE WHOLE VILLAGE, TO WIN THE ELECTION,NOT JUST MATAWI MACHACHE YA UGHAIBUNI.
Watu wamechoka.Jiandae kwa yatayotokea 2010.
Nasubiri utabiri wa wachina waliotoa kuhusu hii existing administration.Walilosema na yanayotokea, yananifanya nifikirie zaidi kuhusu mustakabali wa Taifa letu.
Hapo tuko sawa mkuu,
And the only thing we need is for Dr. Slaa standing Vs any fisadi!