joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,206
- 31,860
Mtizamo wangu au may be ww unahisi why kahailisha?Toka lini israel akaangalia haki za binaadam
Mtizamo wangu au may be ww unahisi why kahailisha?Toka lini israel akaangalia haki za binaadam
Watumiaji lazima wafundishwe Ila sikwa IsraelAlipewa vifaru Uikrane vya msaada,vilipofika uwanja WA mapambano vikagoma kuwaka
Hawawez kwenda vitani bila plan mzee. Sigo ghafla.Kuna swala linashughulikiwa wala sio mambo ya hali ya hewa, Hamas safari hii hamna chao, ngoja wamalize tu maswala ya "Reconnaissance" halafu muone hiyo Gaza inavyotwaliwa kiulaini.
Israel has vowed to move heaven and earth to obliterate Hamas terrorist group and no stone will be left unturned until the terror gang is completely decimated.
Hiyo Vita ngumu sana, US ilimshinda Afghan mzee.Hamas walishawajulia vita ya chumba Kwa chumba kama kampeni za CCM Israel haiviwezi.
Israel ikifanya mchezo itajikuta IPO Kama mbu anabaki nje ya chandarua mpaka panakucha.
Mtaendelea kuswekwa tuHao hakuna kitu,waoga mno na weupe kwa battle za mtu bee
Ndo alichosema Iran kuwa Hezbollah wana plan.Hezbollaha pia walikuwa wanasubiri hyo vita ya ground hili nao wavuke border
Na atachorekaNdo alichosema Iran kuwa Hezbollah wana plan.
Myahudi kusita kwanza siyo ujinga au unyonge kaishaona amekurupuka.
Atulie kwanza, asije akachoreka
Mbinu za kivita hizo. Wapo kazini.IDF wameahirisha kwa muda zoezi walilotaka kuanza wikiendi hii la kuingiza vikosi vyake katika mji wa Gaza kwa kile walichodai ni tatizo la hali ya hewa kitokuwa rafiki hasa kwa vikosi vya Anga.
Pia wamesogeza mbele muda wa kuruhusu wapalestina wanaotaka kuelekea sehemu ya kusini baada ya hapo awali kutoa masaa 24 tu.
IDF wanasema zoezi lijalo linaweza kuchukua miezi na wanatagemea kutakuwa na madhara hata kqa upande wao pia kutikana na na jiografia na mfumo wa kiusalama wa Gaza wenye mahandaki mengi.
Chanzo New York Times.
The offensive had been planned for the weekend but was rescheduled due to adverse weather conditions, the newspaper claims
Israel postpones ground operation in Gaza – NYT
Israel has decided to put off the start of its ground operation against Hamas in Gaza due to adverse weather conditions, the New York Times has claimed. The newspaper is also reporting that the incursion will likely come at quite a price for the Israeli military, given its scope as well as the fortifications built by the militants.
In an article on Saturday the media outlet alleged, citing anonymous Israeli officers, that the “invasion was initially planned for the weekend but was delayed by a few days, at least in part because of weather conditions.” These are so far precluding Israeli pilots and drone operators from providing ground forces with air cover, the NYT explained.
It quoted three unnamed Israeli officers as confirming that the imminent operation would involve tens of thousands of service members, including commando units, and tanks supported by warplanes, helicopter gunships, drones and artillery fired from land and sea. The alleged goal is the complete destruction of Hamas’ leadership, which has controlled the enclave since 2007.
Hawana cha mbinu wameshtukia tu mtego sasa ww yale maghorofa wameya vunja barabara zote hzipitiki hata wenyewe njia ya kupita wamezibaMbinu za kivita hizo. Wapo kazini.
Kuna limoja humu,laitwa FaizaHamas wanatumia wanawake na watoto kama ngao human shields, na kuficha silaha hospitali hapo walipo wamejificha wamevaa HIJAB na kupaka lipstick na wanja hawathubutu kujitokeza! Israel ikiingia Gaza raia watakufa wengi.
Mvua imenyesha baada ya wao kukaata hata maji kuingizwa gaza watu kupata maj ya kunywaWanadema Hali ya hewa mkuu
Aisee! Basi Mrusi alionyesha umafia sana! Na miji kaiuchukua takribani minne!Ground offensive sio ya kukurupukia inabidi ujipange kweli kweli. Kumtimbia adui kwake ukampige ni kazi sana
Wazungu wanasema "mark my words" sijui hata maana yake. Lakini ninachojua ni kwamba mambo magumu zaidi yanawajia hamas.Hamas walishawajulia vita ya chumba Kwa chumba kama kampeni za CCM Israel haiviwezi.
Israel ikifanya mchezo itajikuta IPO Kama mbu anabaki nje ya chandarua mpaka panakucha.
Ugumu watapata ila Israel nawo watarudi kichwa chini kwa aibuWazungu wanasema "mark my words" sijui hata maana yake. Lakini ninachojua ni kwamba mambo magumu zaidi yanawajia hamas.
Yah.Ground offensive sio ya kukurupukia inabidi ujipange kweli kweli. Kumtimbia adui kwake ukampige ni kazi sana
Sawa. Kama wazo litabadilika maana mpango ni kuwatimua Palestine na Israeli kuikalia gaza.Ugumu watapata ila Israel nawo watarudi kichwa chini kwa aibu