Ni kweli sio ugandan,hata Nyerere alikuwa mrundi,na Chiluba alitaka kumpa deportation Kaunda eti ni mmalawi,Obama is Kenyan...politics za namna hii ni kwa watu wajinga tuu kama Mtikila na siasa zake za *********.
Swali moja
Nyerere alikuwa je mrundi??
Wakati Tanganyika, burundi na rwanda zilikuwa taifa moja toka 1884 hadi 1919. Na kabla ya hapo hapakuwa na Taifa la warundi ama tanganyika.
Ni dukuku duku tu.