Mimi nawatetea sio kweli kabisa inategemea na mtu na mtu. Wewe kuna wanaume wana 55 mtoto wa 18 haoni ndani.
Umedanganywa we jaribu uone moto wao au aliyekuambia ni muongo, inategemea huyo mtu wa 40 years kiafya yukoje kama ana kisukari au magonjwa mengine yanayoathiri utendaji wa kiungo hicho sawa otherwise ngo'ombe hazeeki maini kudadadeki!:mad2:salaam wapendwa.
jamani hivi ni kweli wanaume wengi walio na umri kuanzia miaka 40 kwenda juu, uwezo wao wa kufanya mapeni ni mdogo?
Mfano, aki do mara 1, hawezi tena mpaka mwezi upite or wiki 2.