Baada ya eric kupost hii picha, watu 'watokwa povu'.
NB: Hii adhabu ya kusulubiwa ilitumika ancient Rome, kuadhibu watumwa, wafungwa, wachawi etc.
Adhabu ya kusulubiwa haina mafungamano yoyote na ukristu, ni adhabu tu ya kipagani ya watu wa kale,msalaba ni inshu wa wapagani wa kale, tuache ujinga wa kiwango cha lami.
Mods naomba mtuache tubadilishane mawazo..
Tukumbushane mwakani majira kama haya uone atakuwa wapi! Mungu hadhihakiwiAna bahati huyu omondi ingekuwa ile dini nyingine angekoma. Mbona kuna vingi vya kuchekesha kuliko haya mambo ya imani sikujua ka kafulia hivi
kikubwa ni kwamba huu unaoitwa upuuzi ingekuwa upande wetu, muda huu watu tungekuwa barabarani tunaandamana na jamaa kashatangaziwa nanii ile adhabu ya kukatwa kichwa. Wenzetu hawataifuatilia, wataipotezea tu. Peace and Love
Poa bob Kweli
Baada ya eric kupost hii picha, watu 'watokwa povu'.
NB: Hii adhabu ya kusulubiwa ilitumika ancient Rome, kuadhibu watumwa, wafungwa, wachawi etc.
Adhabu ya kusulubiwa haina mafungamano yoyote na ukristu, ni adhabu tu ya kipagani ya watu wa kale,msalaba ni inshu wa wapagani wa kale, tuache ujinga wa kiwango cha lami.
Mods naomba mtuache tubadilishane mawazo..
Kuna utani na utani aisee sio wakuchezea Mungu na imani aisee. Mungu hadhihakiwi kabisaTukumbushane mwakani majira kama haya uone atakuwa wapi! Mungu hadhihakiwi
Hiyo ni act amefanya kwenye cover ya kuliko jana by saut Sol.Ana bahati huyu omondi ingekuwa ile dini nyingine angekoma. Mbona kuna vingi vya kuchekesha kuliko haya mambo ya imani sikujua ka kafulia hivi
oh,mkuu?? kwamba..mwakan?Tukumbushane mwakani majira kama haya uone atakuwa wapi! Mungu hadhihakiwi