Kilicho tokea Iringa haina tofauti na afrika kusini lakini wale wote waliostakiwa kwa mauji ya wanamgodi wamefutiwa mastaka,je hapa kwetu itakuaje maana nasikia kuna watu wanashikiliwa kwa mauji ya mwandishi wakati waliouwa ni polisi.Wadau kazi kwenu