Loh jamani watu wana roho mbaya katoto kazuri sana maskini kosa lake ni nini? Kuja duniani iwe sababu ya yeye kuteseka? Inaskitisha sana
Mbn unataka kupoteza maana ya hii mada?. Au ni ww na ndo ulikua unatekeleza mashart ya babu?. UTAJIRI NI SHIIIDAAA.Anafanana na kada mmoja wa Ukawa.
Kosa lake ni kuja duniani,kutokana na matumizi mabaya ya viuongo vya uzazi vya wanadamu.