Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Mimi bado sielewi kwa ni nini waarabu/waislamu (baadhi yao lakini) wanapenda sana kujilipua na kulipua wenzao wasio na hatia. Nielewesheni jamani-hivi hakuna njia nyingine mbadala ya kufikisha ujumbe mpaka uue watu? Angalia link hii. BBC NEWS | Middle East | Iran: Many die in Zahedan mosque bombing