Jamani jukwaa hili naombi la kufafanuliwa hili Hivi ninini hatma ya vitisho vya urusi kwa Marekani na partner zake bara la ulaya kuhusu marekani kutaka kuweka silaha nzito ulaya huku zikielekezwa Irani? tatizo ni vitisho vya wazi vya urusi pia kuna nini nchini syria je nikweli mgogoro wa syria utasababisha vita ya dunia WWIII na nchi ya misri ni kweli inataka kulipoteza taifa la Israel baada ya kushindwa mara mbili nahitaji kueleweshwa kwa hili maana "Lisemwalo lipo kama halipo basi linajongea" NAWASILISHA