Iran, Russia.....?

DAVIES

JF-Expert Member
Nov 21, 2011
514
90
Jamani jukwaa hili naombi la kufafanuliwa hili Hivi ninini hatma ya vitisho vya urusi kwa Marekani na partner zake bara la ulaya kuhusu marekani kutaka kuweka silaha nzito ulaya huku zikielekezwa Irani? tatizo ni vitisho vya wazi vya urusi pia kuna nini nchini syria je nikweli mgogoro wa syria utasababisha vita ya dunia WWIII na nchi ya misri ni kweli inataka kulipoteza taifa la Israel baada ya kushindwa mara mbili nahitaji kueleweshwa kwa hili maana "Lisemwalo lipo kama halipo basi linajongea" NAWASILISHA
 
Sio lazima uelezwe kuwa silaha nzito zikiwa mikononi mwa maghaidi ni tishio kwa usalama wa dunia, haswa wakati huu ambao ulimwengu wa kiarabu imechafuka mno. Urusi watabaki peke yao wakipiga domo na ma veto ya umoja wa mataifa kuishtua Marekani. Iran, imeweza kujiami vilivyo na ni lazima jambo litendeke. Moja ya mataifa ya hapo mashariki ya kati itahesabu hasara hivi karibuni, aidha Syria au Iran, maana ndio mataifa bila serikali za majimbo.
 
Sio lazima uelezwe kuwa silaha nzito zikiwa mikononi mwa maghaidi ni tishio kwa usalama wa dunia kwa jumla, haswa wakati huu ambao ulimwengu wa kiarabu imechafuka mno. Urusi naona watabaki peke yao wakipiga domo na ma veto ya umoja wa mataifa kuishtua Marekani. Jinsi kulivyo ni kuwa Iran, imeweza kujiami vilivyo na hilo ni lazima jambo litendeke. Moja ya mataifa ya hapo mashariki ya kati itahesabu hasara hivi karibuni, aidha Syria au Iran, maana hayo ndio mataifa yamebaki bila serikali za majimbo.
yap hali inavyoenda kuna nchi moja hapa lazima ile kwake kwa kujifanya kidume
 
Jamani jukwaa hili naombi la kufafanuliwa hili Hivi ninini hatma ya vitisho vya urusi kwa Marekani na partner zake bara la ulaya kuhusu marekani kutaka kuweka silaha nzito ulaya huku zikielekezwa Irani? tatizo ni vitisho vya wazi vya urusi pia kuna nini nchini syria je nikweli mgogoro wa syria utasababisha vita ya dunia WWIII na nchi ya misri ni kweli inataka kulipoteza taifa la Israel baada ya kushindwa mara mbili nahitaji kueleweshwa kwa hili maana "Lisemwalo lipo kama halipo basi linajongea" NAWASILISHA
unachotakiwa kujua ni kwamba USA walitaka kuweka missile shield poland wao wakisema wanaweka kwa ajili ya iran,ila ingeweka hapo-russia angekuwa kwenye wakati mgumu maana ilikuwa inamhusu pia-so russia akatishia kudeploy nuclear missiles zake kwenye boda yake-kiytu ambacho kinawapa wakati mgumu other NATO members.
ila Obama amesimamisha hili zoezi kwanza-hadi 2018 ambapo by 2020 system itakuwa operational-ukiachilia mbalia kaona ni bora ajiingize kwenye mchakato mwingine.
misri haina uwezo wa kuipoteza israel-hilo wanalijua na kuna mikataba ya kijeshi walishawekeana so hata swala la kupigana bado kwao ni gumu kutokea-iran ndo inapayuka kuwa itaipoteza israel kwenye ramani ya dunia.
ww3 ni anticipation tu ndo zipo-ila kama itatokea basi itakuwa worse than ww1 and ww2 combined
 
Back
Top Bottom