Hujajistukia kwa uropokaji wako!?Hili jamaa jinga sana,watu wanapokea kipigo huko balaa ,lenyewe liko hapa kupiga propaganda.
Iran hana hata ubavu kugusa mambo ya US na izraeli.
Ndo mana yuko kimya.
Ushahidi huo unaletwa we unatuimbia twaarab hapa.
Na mna bahati silaha zilizokua zapelekwa Yemen zimezuiliwa kati zingefika habari mngezidi kuipata pale red sea .