Hizo ni fitna za america,rais wa iran hata miak8 hajafikisha kukaa madarakani,ila watakwama waandamanaji wenyewe wanahesabika hata asilimia 10 hawafiki wengi mno waraia wa iran wanamuunga mkono kamanda ahmedinejad,hawatofika popote hao waandamanaji vibaraka wa amerika.
hayo ni matakwa ya wananchi wenyewe wala hakuna Marekani wala USA,hapa ndo utaona fitna za wamarekani
Kwani ni nini the wananchi's are demanding for?
Maana Ahmadinejad yupo kwenye term ya pili tu sasa na hana regime yoyote.