Nimekuwa nikufuatilia kwa karibu jinsi vyombo vya habari vya IPP vinavyoripoti matukio ya Raisi mstaafu wa awamu ya tatu, Mh B.W.Mkapa nikagundua kuna kachuki binafsi ya vyombo hivyoo na Mheshimiwa huyuu..
Wamejitahidi na wanaendeleaa kupandikizaa taarifa hasi dhidi ya Mh Mkapa kila wapatapo nafasi hiyoo..Rejeaa magazeti ya IPP na ITV .
Kwa mfano jana tar 20/07/20 kwenye taarifa ya saa mbili usiku ITV waliripoti kuhusu Mh Mkapa kupokea tuzo ya kutoka Jane Goodal Institute kwa niaba ya Mh Raisi Kikwete.
Cha ajabu Mh Mkapa kama mgeni rasmi wa shughuli hiyo wakati akitoa nasaha zake akashukuru taasisi hiyo kwa kumteua katika Global Leadership Award.
ITV hawakusema popote kwamba MH Mkapa kateuliwa kugombania tuzoo hiyoooo...
Wana ajendaa ganiii hawaa????
Wamejitahidi na wanaendeleaa kupandikizaa taarifa hasi dhidi ya Mh Mkapa kila wapatapo nafasi hiyoo..Rejeaa magazeti ya IPP na ITV .
Kwa mfano jana tar 20/07/20 kwenye taarifa ya saa mbili usiku ITV waliripoti kuhusu Mh Mkapa kupokea tuzo ya kutoka Jane Goodal Institute kwa niaba ya Mh Raisi Kikwete.
Cha ajabu Mh Mkapa kama mgeni rasmi wa shughuli hiyo wakati akitoa nasaha zake akashukuru taasisi hiyo kwa kumteua katika Global Leadership Award.
ITV hawakusema popote kwamba MH Mkapa kateuliwa kugombania tuzoo hiyoooo...
Wana ajendaa ganiii hawaa????