Hahahaa kafiri kweli unakazi ww hivi huo unafiki wako kakende la panya unamletea nani hapa jukwaani mtu mwenyewe hata wiki huna tangu ujiunge na jf zumbukuku wewe jipange upya hatugombani kwa masuala ya dini hapa tunagombana jinsi ya kumtoa nduli ccm
tusemapo bila kulinganisha tukio la bomu la Arusha na tindikali Zanzibar? Haki itendeki au mmesahau Pengo alisema waliouawa Mwembechai ni wahuni? Sisi tutawaambia watu wetu wafanye hili au lile. Yanatokea na yatakuja sana
Kwa wale wanaofuatilia kwa karibu, Ustaadhi Ilunga akiwa Mwanza aliwahutubia waislam na kuwaambia kuwa "Waue mapadri, Maaskofu na Wachungaji, iwe adharani ama kwa kujificha". Bofya hapa uone Ustadh Ilunga Hassan - Mauaji ya shahid Aboud Rogo na Unafiki katika sensa Part 1 - YouTube
Baada ya maelekezo hayo, waumini wa kiislam wameitikia kwa kufanya jaribio la kumuua Padri kwa kumpiga risasi ya mdomoni huko Zanzibar, bahati nzuri mlenga shabaha hakulenga kichwa vizuri.
Siku chache zilizopita tumeshuhudia waislam wakimvamia mchungaji akiwa anasindikiza wageni wake kisha kumuua kwa mapanga huko Buseresere Geita. Hiyo ilitokea baada ya wakristo kuchinja nyama yao. Bila kujali kama mchungaji anahusika au laa, waislam walimuua.
Haya ni matokeo ya serikali kuruhusu waislam kulitesa kanisa, bado tutashuhudia watumishi kadhaa wakiuawa,
Jadili mada zenye tija,udini unakusaudia nn ww,jua kikinuka hakna atakaye salimika,
Kuna ushahidi wowote kuonesha kuwa matukio tajwa hayahusiani na matamshi hatarishi ya huyo Ustadh tumbo?KUna ushahidi wowote kuthibitisha kuwa matukio uliyoyataja yana uhusiano na kauli hiyo ya Ustaadhi?
Asante mkuu kwa kuliona hilo,lakini nikuulize swali hili,unadhani serikali yako yenye dhamana kulinda amani ya nchi na raia wote inaliona hilo? Ponda amekuwa akihamasisha uvunjifu wa amani ,hakukamatwa mpaka walipoharibu makanisa mbagala,ILUNGA anayetoa DVD hizi pamoja na redio imani bado wanadunda mpaka tumefika hapa ambapo watu wameanza kuchinjana.Je serikali ipo au ndo maana halisi ya serikali DHAIFU?Huyo GAIDI Jela inamsubiri; alafu tuje tumuone mtu anaandamana.. Haki ya Mungu nitaingia barabarani kuwasaidia polisi kutembeza VIRUNGU.
ILUNGA ni Gaidi hatari sana
Mkuu kwani wewe unawadhulumu waislamu na kuua mashekhe wao?Kama haufanyi hivto kwanini unaogopa dvd za ilunga?Mama bofya hapo kwenye youtube usikilize, au kanunue dvd ziko mitaani kibao tu, msikilize uone hayo maelekezo alikuwa anawapa akina nani. Kasikilize ili na wewe ujiunge na wauaji
KUna ushahidi wowote kuthibitisha kuwa matukio uliyoyataja yana uhusiano na kauli hiyo ya Ustaadhi?
Kwa wale wanaofuatilia kwa karibu, Ustaadhi Ilunga akiwa Mwanza aliwahutubia waislam na kuwaambia kuwa "Waue mapadri, Maaskofu na Wachungaji, iwe adharani ama kwa kujificha". Bofya hapa uone Ustadh Ilunga Hassan - Mauaji ya shahid Aboud Rogo na Unafiki katika sensa Part 1 - YouTube
Baada ya maelekezo hayo, waumini wa kiislam wameitikia kwa kufanya jaribio la kumuua Padri kwa kumpiga risasi ya mdomoni huko Zanzibar, bahati nzuri mlenga shabaha hakulenga kichwa vizuri.
Siku chache zilizopita tumeshuhudia waislam wakimvamia mchungaji akiwa anasindikiza wageni wake kisha kumuua kwa mapanga huko Buseresere Geita. Hiyo ilitokea baada ya wakristo kuchinja nyama yao. Bila kujali kama mchungaji anahusika au laa, waislam walimuua.
Haya ni matokeo ya serikali kuruhusu waislam kulitesa kanisa, bado tutashuhudia watumishi kadhaa wakiuawa,
Hahahaa kafiri kweli unakazi ww hivi huo unafiki wako kakende la panya unamletea nani hapa jukwaani mtu mwenyewe hata wiki huna tangu ujiunge na jf zumbukuku wewe jipange upya hatugombani kwa masuala ya dini hapa tunagombana jinsi ya kumtoa nduli ccm
Uislamu ni dini yashetani
Unajitia kutoona?Unajua kusoma?Utampeleka mahakama gani wakati waliopo juu ya mahakama ni wao hao hao?Hata mtoto mdogo anaweza kukushangaa kwa kauli yako.Kama una ushahidi mpeleke mahakamani.
wee unachekesha! Hivi unataka maiti ngapi za viongo wa Kikristo ili iwe uthibitisho?KUna ushahidi wowote kuthibitisha kuwa matukio uliyoyataja yana uhusiano na kauli hiyo ya Ustaadhi?
Kwa hiyo solution ya kuwatokomeza magaidi(waislamu) ni kumuingiza padri Slaa Ikulu ili aongoze nchi kwa ufunuo wa roho mtakatatifu?sawa tumekuelewa mkuuKuitoa ccm kunaenda sambamba na kutokomeza ugaidi. Gaidi mmoja wapo ni Ilunga