Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 670
Kwa jinsi Polisi wetu wa Tanzania wanavyojisikia wao ni wababe na hakuna raia yeyote anayefanana nao naona ipo haja ya kubadilisha jina kutoka Police force kwenda Police service maana na wao ni watu kama raia wa kawaida na wanatoa service kama walivyo waalimu madaktari na wengineo.
Kuwapa jina la force imewafanya wawe na force ya kujiona juu ya kila raia yeyote
Hope mamlaka zenye uwezo huo zitafakari kwa kina zilifanyie kazi hili
Kuwapa jina la force imewafanya wawe na force ya kujiona juu ya kila raia yeyote
Hope mamlaka zenye uwezo huo zitafakari kwa kina zilifanyie kazi hili