Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,635
- 697,929
aliwe takko tu make hakuna namna
Mtoe busha moja
Kumla kiboga tu
Hadi nimeogopa
aliwe takko tu make hakuna namna
Mtoe busha moja
Kumla kiboga tu
Kumla kiboga tu
Mmmhh! who told you so mkuu? we unadhani wote wanaotembea nje hawajaridhika na waume zao??
Pole sn bro km ungezifaham namba zke ungenitumia mim dawa yke ninayo nayeye angeona utamu wa mke wa mtu.
na inasikitisha kuwa katika maelezo yakE yoote hajasema kadeal vipi na mkewe!!!!! Akaa tayari kudeal na chain of men.. na hii habari ya sijui kumvunjia yai sijui kumla kiboga..kwanza aende ukasajili haki ya kumla mtu kiboga ili awe nayo peke yako..coz for me you do that to my friend or my brother and I do it to you regardless the fact kwamba ulikuwa unalipa kisasi...VIOLENCE BEGETS VIOLENCESuppose amekusikia na kuachana na mkeo,je unajuaje labda mkeo ndio tabia yake akianza na mwingine utahangaika nae pia? Deal with your wife.
kaka wa watu hana tatizi, mkeo ndo tatizo so dili nae
una haki ya kuogopa..naona wanajamvi wengi solution za matatizo yao ni kulana viboga..nina wasiwasi mtu akileta mada amfanye nini mtu asiyetaka kumlipa deni lake la fedha watu wataropoka "mle takko"Hadi nimeogopa
Hadi nimeogopa
M.s.a.m.a.h.a