ChelseaBlue
Senior Member
- May 22, 2011
- 148
- 43
iPad 1 yenye 32GB storage, ina 3G na WiFi bei 680,000/= simu: 0788745656
yea rait, labda za China​naona zimeanza kushuka bei zikifika laki moja tu ndio watu wa kawaida tutaanza kuchekelea
Kilo tano mkuu fasta.
pandeni juu tena hapo bado ni bei ya housing yake,,,,,kila tano na elfu kumi fasta
hazijaanza kushuka bei mkuu, bado 1mil + !! ni hii moja tu mwenyewe kafilisika anatafuta hela,,,,endelea kusubiri​naona zimeanza kushuka bei zikifika laki moja tu ndio watu wa kawaida tutaanza kuchekelea
pandeni juu tena hapo bado ni bei ya housing yake,,,,,
hii itakufaa sana mkuu, kwa mambo ya ofisini, internet & email, movies, music yaani laptop utaachana nayo kabisa kwasababu ikiwa fully charged utaitumia atleast 3days or more,,ila bei tu ndo uongeze kwanzatena itanifaa sana, maana naelekea ngorongoro mapumzikoni...
tena itanifaa sana, maana naelekea ngorongoro mapumzikoni...