nadhani in the future ingetumika audio technology kutusaidia na sisi wavivu wa kusoma kufuatilia. Maana duuh hilo jibu la kwanza la bwana Zomba tosha kabisa kutesa macho yetu halafu anadai bado ajaelezea yote.
ivi access ya jukwaa la great thinkers napataje?
Jamani mimi nipo ndani ya nyumba kiti cha mbele. Sijamuona Matola zomba Ritz NasDaz Matola jmushi1 Rejao Maundumula Molemo Mwita Maranya