Invitation to all JF members: Debate!

Kumbe nimepotea njia nimekaa hapa muda mrefu nasubiri mjadala kumbe upo chumba cha pili.
 
nadhani in the future ingetumika audio technology kutusaidia na sisi wavivu wa kusoma kufuatilia. Maana duuh hilo jibu la kwanza la bwana Zomba tosha kabisa kutesa macho yetu halafu anadai bado ajaelezea yote.
 
nadhani in the future ingetumika audio technology kutusaidia na sisi wavivu wa kusoma kufuatilia. Maana duuh hilo jibu la kwanza la bwana Zomba tosha kabisa kutesa macho yetu halafu anadai bado ajaelezea yote.


nilishauri juu ya hili lakini sikupata mrejesho......
 
Back
Top Bottom