mswangajr2010
Member
- Jan 10, 2013
- 41
- 9
jamani hawa jamaa wa uhamiaji walibandika tangazo la kazi ofisini kwao,sasa nauliza hivi majina ya watakaoitwa usaili yatabandikwa ofisini kwao ,watatoa magazetini au watapigiwa simu?
Mbona watu wanasubiri tu mwezi March kwenda CCP, au unaongelea intake nyingine!.
jamani hawa jamaa wa uhamiaji walibandika tangazo la kazi ofisini kwao,sasa nauliza hivi majina ya watakaoitwa usaili yatabandikwa ofisini kwao ,watatoa magazetini au watapigiwa simu?