hizo contact tunazimekia wapi.........?
hao jamaa ni wezi tu hamna lolote kma huamini wewe watafute utaona na tuwe makini sana na hawa watu wanao jifanya mawakala wakuwatafutia watu kazi hamna kitu ni bonge la wezi kwenye tatizo kila mmoja anatafuta jinsi gani ya kutoka kwa mwanya huohuohizo contact tunazimekia wapi.........?
Kwa walio interested, ni inbox haba JF,
include your email in your message, then i will send you instructions.