Mau
Senior Member
- Apr 8, 2009
- 176
- 10
Watanzania wenzangu hebu tujadili hili, sheria za tanzania ikiwemo katiba ambayo ndiyo sheria mama zinasema kwamba An accused person is presummed innocent untill contrary is proved, swali langu linakuja hivi,
Kama mtuhumiwa imetokea bahati mbaya akafariki kabla mahakama haijatoa hukumu, je mahakama inatoaga muda wa kumwombea marehemu wakati kesi ikiendelea kumkumbuka na kusikitika kuipoteza nguvu kazi ya taifa?
me naona hili liwepo kwani marehemu alikuwa bado hajasomewa kama ana kosa au hana.
Nawasilisha hoja
Kama mtuhumiwa imetokea bahati mbaya akafariki kabla mahakama haijatoa hukumu, je mahakama inatoaga muda wa kumwombea marehemu wakati kesi ikiendelea kumkumbuka na kusikitika kuipoteza nguvu kazi ya taifa?
me naona hili liwepo kwani marehemu alikuwa bado hajasomewa kama ana kosa au hana.
Nawasilisha hoja