Innocent until proven guilt

Mau

Senior Member
Apr 8, 2009
176
10
Watanzania wenzangu hebu tujadili hili, sheria za tanzania ikiwemo katiba ambayo ndiyo sheria mama zinasema kwamba An accused person is presummed innocent untill contrary is proved, swali langu linakuja hivi,
Kama mtuhumiwa imetokea bahati mbaya akafariki kabla mahakama haijatoa hukumu, je mahakama inatoaga muda wa kumwombea marehemu wakati kesi ikiendelea kumkumbuka na kusikitika kuipoteza nguvu kazi ya taifa?
me naona hili liwepo kwani marehemu alikuwa bado hajasomewa kama ana kosa au hana.
Nawasilisha hoja
 
Watanzania wenzangu hebu tujadili hili, sheria za tanzania ikiwemo katiba ambayo ndiyo sheria mama zinasema kwamba An accused person is presummed innocent untill contrary is proved, swali langu linakuja hivi,
Kama mtuhumiwa imetokea bahati mbaya akafariki kabla mahakama haijatoa hukumu, je mahakama inatoaga muda wa kumwombea marehemu wakati kesi ikiendelea kumkumbuka na kusikitika kuipoteza nguvu kazi ya taifa?
me naona hili liwepo kwani marehemu alikuwa bado hajasomewa kama ana kosa au hana.
Nawasilisha hoja

You are all over the place here ni vigumu kuelewa unataka nini. Mshitakiwa aombewe kidini au? Kama ni kidini akishaombewa halafu iweje, itamsaidia vipi kuclear jina lake kulingana na heading ya thread yako. Kesi inaendelea mshtakiwa akiwa nani?
 
Watanzania wenzangu hebu tujadili hili, sheria za tanzania ikiwemo katiba ambayo ndiyo sheria mama zinasema kwamba An accused person is presummed innocent untill contrary is proved, swali langu linakuja hivi,
Kama mtuhumiwa imetokea bahati mbaya akafariki kabla mahakama haijatoa hukumu, je mahakama inatoaga muda wa kumwombea marehemu wakati kesi ikiendelea kumkumbuka na kusikitika kuipoteza nguvu kazi ya taifa?
me naona hili liwepo kwani marehemu alikuwa bado hajasomewa kama ana kosa au hana.
Nawasilisha hoja


mkuu, kwani anapoombewa it means mahakama ndo inaprove kwamba he was not guilty au? what matters on that law embodied in our constitution is that the way we treat any accused person we must bare in our minds that he is not guilty since, according to our constitution Art 107, only the Court of law has that authority. I think the matter of praying before him is immaterial so far as pressumption of guilty is concerned
 
Huyu Mau nimeshindwa kumwelewa anataka Mahakama zifanye kazi za misikiti au makanisa? Pia anaonekana kama haelewi kama Mahakama huwa zinaombea waliofariki huku akisema tena suala hili liwepo! JF and its Great Sinkers!
 
Back
Top Bottom