Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Wana ndugu leo kuna ndoa moja imeleta kasheshe hapa narudi hoi hata sijui nifanyaje
ndoa ttulioipenda mwisho naona mungu anataka kuipenda zaidi...
nafikiri wakina baba mnaitaji kuwa makini na hizi simu zenu...kama unajua unafanya mambo ya nyumba ndogo basi mheshimu mkeo...yawezekana kwa kujua ama kutojua unamjulisha mkeo..hakika machungu yake yanachukua muda zaidi ya mara 7*70 unayoisoma kila siku
Anyway kwenye simu kuna simu zingine ukiandika kitu kwa bahati mbaya ukataka kuifuta kumbe imeandika save ukabonyeza yes..ile kitu hukaa pale mpaka wapwa kama hawa wanaolia na maombi kuja kuziona..jamaa amekuwa na mambo yake binafsi siitaji kusema ila alipokuwa akimwandikia hawara yake leo..hiyo msg ikawa saved kwenye draft..mkewe akaomba simu wakiwa na mazoea ya kugaiana kama vingine..ndipo alipoanza na sent ola.inbox hola,,outbox hola,,,draft akakuta upopompopo wa huyu bwana..dada yule kwa hekima akatupigia akiwa pekeyake bila kumwambia mumewe kuna kitu akiendela na cheka na mumeo..akamwomba waende outing ndipo nasie tukafika...walipoanza kula kufurahi mama akatoa ilicho moyoni mwake..akusita kuchukua simu..waungwana bila uhasama tukamwomba kidume umetuua maliza kwa msamaha..kweli alimwomba msamaha ila namowmba mungu asahau...Unajua wanaume wengi tunajua lolote likitokea tukisamehewa yanaisha
weee...ni bora asisamehe ila asahau....ndicho tunachokiomba amesamehe kusahau???
Baada ya hili bwana mmoja akauliza hivi ndugu ingekuwa vipi tungekuwa kila baada ya miezi sita tunabadilishana mke..wakwako angefika miezi sita??maana ya mh hata miezi 3 bado......kazi kwenu/tu
Wapendwa tuheshimu ndoa zetu...tuzitunze,,tuzilee tusadiane...
ndoa ttulioipenda mwisho naona mungu anataka kuipenda zaidi...
nafikiri wakina baba mnaitaji kuwa makini na hizi simu zenu...kama unajua unafanya mambo ya nyumba ndogo basi mheshimu mkeo...yawezekana kwa kujua ama kutojua unamjulisha mkeo..hakika machungu yake yanachukua muda zaidi ya mara 7*70 unayoisoma kila siku
Anyway kwenye simu kuna simu zingine ukiandika kitu kwa bahati mbaya ukataka kuifuta kumbe imeandika save ukabonyeza yes..ile kitu hukaa pale mpaka wapwa kama hawa wanaolia na maombi kuja kuziona..jamaa amekuwa na mambo yake binafsi siitaji kusema ila alipokuwa akimwandikia hawara yake leo..hiyo msg ikawa saved kwenye draft..mkewe akaomba simu wakiwa na mazoea ya kugaiana kama vingine..ndipo alipoanza na sent ola.inbox hola,,outbox hola,,,draft akakuta upopompopo wa huyu bwana..dada yule kwa hekima akatupigia akiwa pekeyake bila kumwambia mumewe kuna kitu akiendela na cheka na mumeo..akamwomba waende outing ndipo nasie tukafika...walipoanza kula kufurahi mama akatoa ilicho moyoni mwake..akusita kuchukua simu..waungwana bila uhasama tukamwomba kidume umetuua maliza kwa msamaha..kweli alimwomba msamaha ila namowmba mungu asahau...Unajua wanaume wengi tunajua lolote likitokea tukisamehewa yanaisha
weee...ni bora asisamehe ila asahau....ndicho tunachokiomba amesamehe kusahau???
Baada ya hili bwana mmoja akauliza hivi ndugu ingekuwa vipi tungekuwa kila baada ya miezi sita tunabadilishana mke..wakwako angefika miezi sita??maana ya mh hata miezi 3 bado......kazi kwenu/tu
Wapendwa tuheshimu ndoa zetu...tuzitunze,,tuzilee tusadiane...