INDIA: Mahakama yamhukumu kifungo cha maisha jela Raia wa Kenya kwa kosa la kumbaka mkenya mwenzake

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,076
4,113
NEW DELHI,INDIA

MAHAKAMA nchini India imemhukumu kifungo cha jela maisha mwanafunzi raia wa Kenya kwa kosa la kubaka.

Eric Mulinge Nethuli mwenye umri wa miaka 26, alipatikana na hatia ya kubaka Mkenya mwenzake mwenye umri wa miaka 22 mnamo mwaka 2016.

Mahakama ilisema, kijana huyo ambaye alikuwa akisoma na mwanamke huyo alialikwa kwa ajili ya chakula cha usiku na akaitumia fursa hiyo kumbaka.

Mulinge alikuwa ni mwanafunzi wa shahada ya pili ya uongozi katika chuo binafsi nchini India mwaka 2016. Mwanamke aliyebakwa alitoa taarifa katika kituo cha Polisi na hatua za kumkamata mhalifu zikafuata.

Mahakama ilimhukumu Mulinge miaka sita na nusu jela chini ya vifungu 342,352, 506 sehemu ya kwanza ya sheria ya India inayoelezea sheria ya unyanyasaji wanawake na jela maisha chini ya kifungu cha 376 ambavyo atavitumikia sambamba.
 
NEW DELHI,INDIA

MAHAKAMA nchini India imemhukumu kifungo cha jela maisha mwanafunzi raia wa Kenya kwa kosa la kubaka.

Eric Mulinge Nethuli mwenye umri wa miaka 26, alipatikana na hatia ya kubaka Mkenya mwenzake mwenye umri wa miaka 22 mnamo mwaka 2016.

Mahakama ilisema, kijana huyo ambaye alikuwa akisoma na mwanamke huyo alialikwa kwa ajili ya chakula cha usiku na akaitumia fursa hiyo kumbaka.

Mulinge alikuwa ni mwanafunzi wa shahada ya pili ya uongozi katika chuo binafsi nchini India mwaka 2016. Mwanamke aliyebakwa alitoa taarifa katika kituo cha Polisi na hatua za kumkamata mhalifu zikafuata.

Mahakama ilimhukumu Mulinge miaka sita na nusu jela chini ya vifungu 342,352, 506 sehemu ya kwanza ya sheria ya India inayoelezea sheria ya unyanyasaji wanawake na jela maisha chini ya kifungu cha 376 ambavyo atavitumikia sambamba.
Dah! Nyegezi zimezima ndoto yake.
 
Sasa watu hata mkiwa ugenini hamsaidiani ? Kwani huyo mwanamke angempa tu huyo jamaa duka angepungukiwa nini ?

Au mwanamke ni Mjaluo na mwanaume Mkikuyu ? Hatred inavuka boda ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
India kubaka ni issue na inachukuliwa kwa uzito mkubwa ni common crime ya 4 against wanawake na mwaka 2003 takwimu ili zaidi ya 24,000 ya wanawake walibakwa kwa kule kuuwa mtu si issue kubwa kama kabaka .....

Jamaa mkenya Eric alikuwa na miaka 26 na issue ilitokea state ya Tamil Nadu na siyo delhi kama mtoa mada alivyo andika ....

Zaidi soma hapa.....https://www.instagram.com/p/Bwb71vmBwzU/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=ma3pe5jgc1m
 
Back
Top Bottom