Mi nitaamini vipi kama ni mtu umempanga wewe......Mi nimekuomba hivyo kwasababu mada zako nimehudhurisha katika Group langu la Afya la Whatsapp nimeona Tufike Tamati kwa hili kwa kukufanya wewe uwe GUINE PIG kwa kukubali TUKU INJECT damu ya Mgonjwa wa UKIMWI kisha tukupe miezi sita TUJE HAPA NA KWENYE GROUP LANGU utoe USHUHUDA WA HILI.
MI SIWEZI KUKUBALI MTU AMBAYE SINA HAKIKA NA UKWELI WAKE.
NA KAMA HAIWEZEKANI NAOMBA HUYU MTU WAKATI ANAKU INJECT DAMU NIWE NAYE,NA MWENYEWE NIITHIBITISHA HIYO DAMU KUWA KWELI NI YA MTU MWENYE UKIMWI.
NA USIWE NA WASIWASI JAMBO HILI TUNALIFANYA KWA KUFUATA TARATIBU ZOTE ZA KISHERIA,na kwa taarifa tu nishamuandaa mwanasheria katika hili KWA AJILI YA USALAMA WAKO NA USALAMA WANGU.
1.Wewe unaishi wapi?
2.Umejiaandaje kufidia muda nitakaoupoteza kufanya jambo hilo.
3.Ukishaniambia umejiandaa vipi kufidia muda nitakaopoteza kufanya jambo hilo halafu nikaridhika,basi utatafuta mtu ambaye wewe mwenyewe umemthibitisha ana HIV uje naye pale nitakapotaka mimi.Sawasawa?
4.Halafu tutasubiri miezi 3,sio 6 kama unavyotaka.Inaonekana bado hata hiyo mainstream theory ya HIV/AIDS hujaielewa.Tutasubiri miezi 3,sio 6.Umeelewa?
Haya nijibu hapo kwenye namba 2 kwanza.