Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,277
- 8,003
JMakamba anasafisha ili kuweka watu wake, ambao mwisho wake wanafeli vibaya kama walivyofanya TANESCOWaziri January Makamba alivyoteuliwa pale Nishati alipasafisha na kuweka Watendaji wapya kuanzia Tanesco na kwingineko.
Sasa amepelekwa Mambo ya Nje tayari ameanza kuisafisha na Rais Samia ameshatoa Neno la angalizo.
Jumaa Mubarak 😄