Kweli nimeamini kinyago unacho kichonga hakiwezi kukutisha. Unajua wakati ma MVI ana hangaika na mifedha yake, Msemaji wa CCM alisema Panya akiingia kwenye mtungi, Mtungi hauvunjwi ili kumtoa Panya . Akasema tena Mafuriko ya ma MVI watayazuia kwa Kidole. Sasa nimeamini ma MVI kamwe hatoweza kuiangusha CCM. Kweli kinyago hakimtishi mchongaji.
View attachment 401337View attachment 401339View attachment 401340
Inauma sana haitakuja kutokea tena.
Mwenyekiti CCM JF
Hivi hizi akili umezaliwa nazo au umekutana nazo tu huku duniani?ama kwel "WHEN A MAD MAN WALKS NAKED IT'S HIS KINSMEN WHO FEEL SHAME"Sio leo halafu labda mwaka 3045.
Mwenyekiti CCM JF
Hivi ww kwa akili zako za kuzaliwa kama mnategemea makapi ya CCM na akili ya Gwajima unahisi unaweza kuchukua nchi 2020? Hamfanyi uwekezaji kutoa viongozi nyie mnadandia Wazee wa CCM waliochoka kama Sumaye, uliza tena swali lako kama akili zangu nimezikuta barabarani au nimezaliwa nazo.Hivi hizi akili umezaliwa nazo au umekutana nazo tu huku duniani?ama kwel "WHEN A MAD MAN WALKS NAKED IT'S HIS KINSMEN WHO FEEL SHAME"
Nimekukubali mkuu wewe n mwana CCM uliyeelimika kumbe,una hoja huna matusi,big up,hii ndio siasa!!!..Hivi ww kwa akili zako za kuzaliwa kama mnategemea makapi ya CCM na akili ya Gwajima unahisi unaweza kuchukua nchi 2020? Hamfanyi uwekezaji kutoa viongozi nyie mnadandia Wazee wa CCM waliochoka kama Sumaye, uliza tena swali lako kama akili zangu nimezikuta barabarani au nimezaliwa nazo.
Mwenyekiti CCM JF
Usingewakumbusha!! Hiki ni chama yenye siasa za miujiza au matukio ya kupikwa na kutengezwa nashukuruu watanzania kwa kuwapuuza na kuendelea kuwapuuza wanataka kumpa mtu mwenye haki ya kuishi SEEGEREA ikulu "mahali patakatifu" anayeishabikia na kuiunga mkono hiki chama akapimwe akili
View attachment 401337View attachment 401339View attachment 401340
Inauma sana haitakuja kutokea tena.
Mwenyekiti CCM JF
Cha ajabu hata kura haukupiga mnabaki mna BWABWAJA TU HUMU......HUYU NDIE RAIS WA MIOYO YA WATANZANIA,KARATASI ZILISHINDWA KUMPA USHINDI,INGAW MIOYO YETU ILIMCHAGUA!!!..
Yeah kwakuwa tunaishi wote na unanijua vzr,kwann usikubal mawaz yang"I'M A FREE BEING"wew kam humpend EL namim nismpende?Cha ajabu hata kura haukupiga mnabaki mna BWABWAJA TU HUMU......