Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Kuna kipindi nashawishika kuamini kuwa baadhi ya wasomi wanatumia masaburi kufikiri!
Siamini msomi kama Lukosi tena ambaye ameishi nje ya nchi anaweza kuanzisha uzi kama huu. Huu ni wazi ni ufinyu wa mawazo.
Nadhani mengi kaelimishwa na wenzangu lakini ngoja nami nimpe darasa upande wa pili.
Lile kapu linaitwa kapu la uzalendo. Unaambiwa hata kama huna pesa ya kuchangia liguse tu ishara ya kusupport mabadiliko na wazi waliotoa hata Tshs 100 kwa kumananisha maana yake huyo yupo tayaru kukifia chama na hawezi kuuza shahada yake.
Kwa mantiki nyingine Tshs 900,000 ya jana ni zaodi ya kura 3,000 kutokana na michango hiyo kama ingekuwa ni uchaguzi.
Hilo kapu la mchango ni zaidi ya fedha elewa hilo.
Siamini msomi kama Lukosi tena ambaye ameishi nje ya nchi anaweza kuanzisha uzi kama huu. Huu ni wazi ni ufinyu wa mawazo.
Nadhani mengi kaelimishwa na wenzangu lakini ngoja nami nimpe darasa upande wa pili.
Lile kapu linaitwa kapu la uzalendo. Unaambiwa hata kama huna pesa ya kuchangia liguse tu ishara ya kusupport mabadiliko na wazi waliotoa hata Tshs 100 kwa kumananisha maana yake huyo yupo tayaru kukifia chama na hawezi kuuza shahada yake.
Kwa mantiki nyingine Tshs 900,000 ya jana ni zaodi ya kura 3,000 kutokana na michango hiyo kama ingekuwa ni uchaguzi.
Hilo kapu la mchango ni zaidi ya fedha elewa hilo.