FAMILY LAW
Member
- Jul 14, 2012
- 53
- 10
Habari zinasema kua serikali ya tanzania haijatuma helikopta wala vifaa vya uokolezi kwenda eneo la tukio tofauti na reaction ambazo hua zinachukuliwa katika vurugu za kisiasa vyombo vya dola vinakua mstari wa mbele kutuma polisi na mabomu ya machozi..lakini umoja wa ulaya na serikali ya south africa kupitia port elizabeth wametuma helikopta kwa ajili ya kusaidia uokolewaji au uopolewaji. how far kilometers from south to zanzibar? or dar to z'bar? nawasilisha.
source DW UJERUMANI
source DW UJERUMANI