Inakuwaje Waziri aseme ndio serikali inatambua uhaba wa vitabu mashuleni?!

kahaluaJr

Member
Apr 6, 2012
44
11
Ndugu zangu mie nasikitikana sana mara kwa mara nikisikia mawaziri wakisema ooh serikali inatambua kuwa kuna uhaba wa vitendea kazi mashuleni?Sasa swali la kujiuliza kama kweli wanatambua hilo ni kitu gani kinawafanya wasinunue vitendea kazi hivyo?Pili nilimshangaa sana waziri wa Elimu anasema ati serikali imedhamiria kutumia hela ya chenji iliyorudishwa kutoka England ili itumike kununulia vitendea kazi kama vitabu nk.Swali lingine je kama kusingekuwa na chenji hizo wangefanyaje? Na je bajeti ya Elimu au ya kuboresha Elimu iko wapi?na kama wanatumia cheni hiyo zitakwenda wapi zile fedha ambazo zilishapitishwa kwenye bajeti???Naomba ushirikiano wa kudiscuss, hii ni kwa maendeleo ya nchi yetu tuweke siasa pembeni Ahsanteni:crying:
 
Ndugu zangu .......Naomba ushirikiano wa kudiscuss, hii ni kwa maendeleo ya nchi yetu tuweke siasa pembeni Ahsanteni:crying:
Hatuwezi kuweka siasa pembeni kwa vile umeileta kwenye jukwaa la siasa.
 
Hatuwezi kuweka siasa pembeni kwa vile umeileta kwenye jukwaa la siasa.

Hebu lala kwanza ukiamka kale mtori uondoe ze laga mukichwa then urudi kuchangia, maana unaonekana kama mjivuni flani vile. Kama huna cha kuchangia hebu kumbatia mkeo ulale au fungua fridge ongeza moja ya kulalia mazee.
 
Back
Top Bottom