Gangi Longa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 275
- 135
Ndg wana JF,
Nimejaribu kuangalia kufikishwa kwa kiongozi wa UAMSHO Sheikh Farid Hadi mahakamani na nimeshtushwa na masharti aliyopewa ya dhamana maana yamekaa kimtego mtego! Yaani kama yanataka kutengeza heros na heroines! Anahitajika kudhaminiwa na watu wawili mmoja toka serikalini na wa pili toka viongozi wenzie wa kidini!
Je umepata kufikiria hili tego linaweza kuibui mambo makubwa huko Zanzibar? Ni vp pale Maalim Seif na Kadhi Mkuu wa Zanzibar watakapojitolea kumdhamini? Kitu ambacho naanza kukihisihisi? Je SUK itavunjika ama vp? Na ni nini mstakabali wa Muungano baada ya hapo?
Tukae chonjo kusubiri
Nimejaribu kuangalia kufikishwa kwa kiongozi wa UAMSHO Sheikh Farid Hadi mahakamani na nimeshtushwa na masharti aliyopewa ya dhamana maana yamekaa kimtego mtego! Yaani kama yanataka kutengeza heros na heroines! Anahitajika kudhaminiwa na watu wawili mmoja toka serikalini na wa pili toka viongozi wenzie wa kidini!
Je umepata kufikiria hili tego linaweza kuibui mambo makubwa huko Zanzibar? Ni vp pale Maalim Seif na Kadhi Mkuu wa Zanzibar watakapojitolea kumdhamini? Kitu ambacho naanza kukihisihisi? Je SUK itavunjika ama vp? Na ni nini mstakabali wa Muungano baada ya hapo?
Tukae chonjo kusubiri