Tetesi: Inadaiwa uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane unaendelea

Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum.

Sasa nawataarifu kuwa uchunguzi juu ya kupotea kwa kijana huyo unaendelea na ni moja ya ajenda muhimu zilizojadiliwa hapo kabla. Hivi karibuni jambo hilo litawekwa wazi.

Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo yanayofanya viongozi wastaafu wa ngazi za juu kukwepa kabisa kuuzungumzia na kuujadili utawala wa hayati John Magufuli. Imefahamika kuwa yapo mambo kadhaa yasiyo ya utu yalifanyika huku yakiwa na baraka za hayati John Magufuli tena kwa maelekezo maalum.

Wekeni masikio wazi siku chache zijazo mtasikia la mgambo.
Hapo utamgusa Mwiguru,bashite na igp kipind kile.Hawa jamaa Wana Siri kubwa mno mioyon mwao
 
Si alipigwa chuma na bwana mkubwa kwa baahat mbaya.(corridor za umbeya)

Naambiwa toka lile tukio mwamba hakuwah kuwa Sawa had maut yanamkuta.

Kwahiyo uchunguzi sijui utakuwa kwa ajili ya nini.
Hii hata mimi niliisikia alimfanyia majaribio na bunduki yake ile alionyesha kwa TV. Na kutamba. Mwendawazimu Magufuli ni LAANAKUM.
Alaaniwe na kizazi chake chote.
 
Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum.

Sasa nawataarifu kuwa uchunguzi juu ya kupotea kwa kijana huyo unaendelea na ni moja ya ajenda muhimu zilizojadiliwa hapo kabla. Hivi karibuni jambo hilo litawekwa wazi.

Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo yanayofanya viongozi wastaafu wa ngazi za juu kukwepa kabisa kuuzungumzia na kuujadili utawala wa hayati John Magufuli. Imefahamika kuwa yapo mambo kadhaa yasiyo ya utu yalifanyika huku yakiwa na baraka za hayati John Magufuli tena kwa maelekezo maalum.

Wekeni masikio wazi siku chache zijazo mtasikia la mgambo.
Tunasubiria kwa hamu kumwona Ben akiwa hai,au kaburi lake
 
This is not necessarily, CinC akisha staafu, hawezi kujua the clandestine opps za the current regime, umeandika as if wastaafu wanajua what happened to Ben ila wanakwepa kuzungumzia, nipe mfano hata mmoja tuu wa kiongozi yoyote kuwahi kuzungumzia au kujadili jambo lolote la mtangulizi wake au tukio lolote la wale jamaa zetu?.

tawala zote duniani zinafanya mazuri na mabaya/maovu, kama ni kweli ni yeye alihusika, then karma has already took its toll, nakuhakikishia there is no one atathubutu kuhoji hivyo hakuna uchunguzi wowote!.
Kama tukio la shambulizi la Lissu, lililo fanyika mchana kweupe, huku CCTV ikirekodi, hakuna uchunguzi, itakuwa la Ben who just vanished into the thin air?!.
P
Ikitokea chama kingine kushika hatamu hilo la kuchunguza linawezekana kabisa.........rejea uchunguzi wa Ouko huko Kenya ulifanyika miaka mingi baada ya kifo chake chenye Utata.

Rip Ben...
 
Ikitokea chama kingine kushika hatamu hilo la kuchunguza linawezekana kabisa.........rejea uchunguzi wa Ouko huko Kenya ulifanyika miaka mingi baada ya kifo chake chenye Utata.

Rip Ben...
Ndiyo maana nawaambia watu Makonda asijidanganye kuwa kwa kuwa Mwenezi wa CCM basi mambo yamekwisha. Akitoka Samia tu lazima ule msambwanda wa Bashite uingie jela, na manyapala wakaugombee kama mpira wa kona
 
Aliyeua kwa upanga naye leo hayupo. Asante Mungu (au wanadamu wenye walioingia kati) kwa kutuondolea mbali lile dubwasha lililoitwa JPM.

Kwangu 17 March,2021 ilikuwa siku ya furaha sana na itabaki hivyo milele.
milele ipi wakat march 2024 na ww unafata
 
Back
Top Bottom