Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,211
Hapo unaambiwa mtu alifariki watu wakashindwa kumtambua kwasababu sura na sehem zingine za juu, ila dushelele ikawa haijaharibika inaonekana vizuri.
Unaambiwa mwana mama huyooo akaangalia dushelele akasema huyu ni mtu fulani. Watu kufuatilia wakagundua ni kweli huyo aliyetajwa ndiye aliyeenda eneo hilo alilokutwa amefariki.
Sasa mwenye mwanamama huyo akawa anajiuliza iweje mwanamama wake aangalie dushelele na ajue huyu ni mtu fulani kama alikua haruki naye vihunzi? Hapo ndo akachukua uamuzi wa kumuua.
Wivu ni kitu kibaya sana.
Unaambiwa mwana mama huyooo akaangalia dushelele akasema huyu ni mtu fulani. Watu kufuatilia wakagundua ni kweli huyo aliyetajwa ndiye aliyeenda eneo hilo alilokutwa amefariki.
Sasa mwenye mwanamama huyo akawa anajiuliza iweje mwanamama wake aangalie dushelele na ajue huyu ni mtu fulani kama alikua haruki naye vihunzi? Hapo ndo akachukua uamuzi wa kumuua.
Wivu ni kitu kibaya sana.